Home »
Michezo
» Kocha wa Township Rollers afunguka kuhusu kuifahamu Yanga
Jumanne ya March 5 2018 wapinzani wa Yanga katika michuano ya club Bingwa Afrika Towship Rollers ya Botswana walijitokeza mbele ya waandishi wa habari na kukubali kuongelea mchezo dhidi ya wenyeji wao Yanga utakaochezwa kesho March 6 2018.
Kuelekea mchezo huo kocha wa Township Rollers, Nikola Kovazovic aliongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya mchezo huo na alikuwa radhi kujibu swali je anaifahamu Yanga ambayo anacheza nayo kesho.
“Katika mpira wa kisasa wa kiwango cha juu kama club Bingwa Afrika hutaweza kupata matokeo kama hutokuwa unafahamu walau hata kwa uchache mpinzani wako unayekwenda kucheza nae, hivyo sisi tunamfahamu mpinzani wetu kitu ambacho kitatusaidia kupata matokeo chanya” Nikola Kovazovic
Related Posts:
Video: Dylan Kerr amezungumzia mechi ya Everton, hakuacha kuitaja klabu yake ya zamani Simba
Kocha wa zamani wa Simba Dylan Kerr amekuja kwa mara nyingine Tanzania lakini safari hii akiwa ni kocha wa klabu ya Gor Mahia ya Kenya ambao Julai 13, 2017 watacheza mechi ya kirafiki vs Everton ambao wanakuja nchini… Read More
CAR yaendelea kukabiliwa na machafuko mbalimbali Zaidi ya wakimbizi 150,000 walivuka mpaka kati ya Chad na Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni. Mapigano ya wiki mbili kati ya makundi yenye silaha kwenye mji wa Zemio kusini mw… Read More
Tetesi za soka Ulaya Jumatano 12.07.2017 Hatma ya kiungo wa Everton Ross Barkley, 23, iko mashakani baada ya mchezaji huyo kuachwa katika kikosi kilichokwenda Tanzania. Klabu hiyo imesema anasumbuliwa na jeraha la nyonga. (Daily Mail)Eric Dier anataka ku… Read More
Azam kucheza mechi tatu Nyanda za Juu Kusini
Category:
First Team
Team:
Azam FC
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, inaendelea kujiweka sawa kuelekea msimu ujao, habari njema ni kuwa imealikwa kwenye mikoa ya Nyanda z… Read More
ARSENAL KUMJARIBU LACAZETTI LEO KABLA YA LUNCHSydney,Australia.WAKATI idadi kubwa ya Watanzania wakiwa bado hawajaketi vitini kupata chakula chao cha mchana (lunch),mabingwa wa kombe la FA nchini England,Arsenal watashuka kwenye dimba la Allianz mishale ya saa 12:30 za m… Read More
0 comments:
Post a Comment