Monday, 23 October 2017

SIMBA YAANZA KAMBI YAKE ZANZIBAR, MAZOEZI MAGUMU, DOZI MARA MBILI KWA SIKU KUANZA KESHO



Kikosi cha Simba kimetua mjini Zanzibar na kuanza kambi yake rasmi kuiwinda Yanga.

Simba inajiandaa katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Wachezaji wa Simba chini ya Kocha Joseph Omog, wamepanga kuanza mazoezi magumu kesho asubuhi na watafanya mazoezi asubuhi na jioni kwa siku mbili mfululizo.


Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kutokana na Simba na Yanga kulingana pointi, kila moja ikiwa na 15 na Simba ikiwa kileleni kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Related Posts:

  • Wachezaji bongo tusiogope kwenda nje - MaguliMshambuliaji wa kimataifa anayeitumikia klabu ya Dhofar SC ya nchini Oman, Elias Maguli amewataka vijana wa Kitanzania wanaotaka kuendeleza vipaji vyao, nje ya nchi kujaribu pale wanapopata nafasi na sio kukata tamaa.Maguli a… Read More
  • Manny Pacquiao kuzipiga jumapiliManny Pacquiao (kushoto) akinyoosha mkono wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lake kutetea mkanda wake wa WBO uzito wa Welter dhidi ya Jeff Horn (kulia) mjini Brisbane, Jumapili… Read More
  • Sijasaini mkataba Simba - AishiMlinda mlango wa Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Aishi Salum Manula, amekanusha kusaini na Klabu ya Simba huku akiongeza kuwa vipo vilabu vingi vya hapa nchini alivyofanya navyo mazungumzo na muda ukifika itajulikana na … Read More
  • Breaking News: Jamali Malinzi hatoweza kushiriki uchaguzi TFFRais wa TFF, Jamal Malinzi hataweza kutetea kiti chake cha urais.Malinzi hataweza kwa kuwa kesi iliyomfikisha mahakamani leo itasikilizwa tena Jumatatu Julai 3 na Malinzi atakaa rumande hadi siku hiyo.Usaili wa viongozi wanao… Read More
  • Okwi Atema ChecheMshambuliaji wa zamani wa kikosi cha Simba Emmanuel Okwi ambaye jana amerejea rasmi katika kikosi hicho baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia Simba amefunguka na kusema amekuja kupambana kuhakikisha kuwa Simba inapata ubingw… Read More

0 comments:

Post a Comment