semiosonyo5.blogspot.com

Tuzo hizo ni mara ya pili mwaka huu zinatolewa na shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kuzitenga kutoka katika tuzo za Ballon d'or na zitafanyika jijini London katika ukumbi wa Palladium.
Ronaldo akiwa na Real Madrid anatajwa kwamba ana nafasi kubwa ya kushinda kwenye tuzo hiyo baada ya kuiongoza Real Madrid kushinda ligi ya mabingwa barani Ulaya na ubingwa wa ligi kuu Spain la Liga.
WANAOWANIA TUZO MBALIMBALI LEO
Mchezaji bora - Wanaume
Cristiano Ronaldo (POR / Real Madrid)
Lionel Messi (ARG - Barcelona)
Neymar (BRA - Barcelona/Paris Saint-Germain)
Mchezaji bora - Wanawake
Deyna Castellanos (VEN - Santa Clarita Blue Heat/Florida State Seminoles)
Carli Lloyd (USA - Houston Dash/Manchester City Women)
Lieke Martens (NED - Barcelona Femeni)
Kocha Bora - Wanaume
Massimiliano Allegri (ITA - Juventus)
Antonio Conte (ITA - Chelsea)
Zinedine Zidane (FRA - Real Madrid)
Kocha Bora - wanawake
Nils Nielsen (DEN - Danish national team)
Gerard Precheur (FRA - Olympique Lyonnais Feminin)
Sarina Wiegman (NED - Netherlands national team)
Kipa Bora
Gianluigi Buffon (ITA - Juventus)
Keylor Navas (CRC - Real Madrid)
Manuel Neuer (GER - FC Bayern Munich)
Goli Bora la Mwaka - Puskas Award
Kevin-Prince Boateng (Las Palmas)
Alejandro Camargo (Universidad de Concepcion)
Deyna Castellanos (Venezuela U-17)
Moussa Dembele (Celtic)
Olivier Giroud (Arsenal)
Aviles Hurtado (Tijuana Xolos)
Mario Mandzukic (Juventus)
Oscarine Masuluke (Baroka FC)
Nemanja Matic (Chelsea)
Jordi Mboula (FC Barcelona U-19)
Mashabiki Bora
Borussia Dortmund supporters
Celtic Supporters
FC Copenhagen supporters
0 comments:
Post a Comment