Kenedy amefunga ndoa leo jijini Dar es salaam na kuudhuriwa na watu wake wa karibu wa familia yake na familia ya bibi Harusi
Kenny anaingia katika orodha ya watu maarufu waliofunga ndoa mwaka huu ikiongozwa na Madam Flora, Mx Carter, Producer Dx, Professor Jay na Babuu wa kitaa.
0 comments:
Post a Comment