Home »
Michezo
» Yanga ipo hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kiungo huyu
Kiungo Papy Kabamba Tshimbi yuko katika hatua za mwisho kutua Yanga na imeelezwa atachukua mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo.
Tayari kila kitu, Tshishimbi raia wa DR Congo kutoka Mbambane Swallows ya Swaziland wamekubaliana na Yanga na baada ya vipimo, kama Yes, basi mkataba unakuwa Yes.
Hata hivyo, kiungo huyo mkabaji anaonekana yuko vizuri na ana nafasi ya kufuzu vipimo kwa 99%.
Related Posts:
Cristiano Ronaldo anataka kushinda tuzo 7 za dunia na haya ndio matarajio yake katika World Cup 2018semiosonyo5.blogspot.comCristiano Ronaldo alitajwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wa FiFA kwa mara ya pili mfululizo jana jijini London, na nahodha wa Ureno jana baada ya kumalizika kwa shughuli ya ugawaji wa tuzo alifanya mahoj… Read More
La Liga waendelea kukomalia pesa za PSG, waipa UEFA msimu mmoja kuwatimua laa sivyo watakwenda mbali zaidi
Shirikisho la soka nchini Hispania La Liga liliwahi kulikataa dau ambalo PSG walilitoa wakati wa usajili wa mshambuliaji wa Barcelona Neymar wakisisitiza kwamba kiasi hicho cha pesa ni kikubwa kuliko uwekezaji wa PSG.
… Read More
EVERTON KAMA ULIVYOSIKIA; KOCHA MPYA, MAISHA YALEYAKE, YACHAPWA 2-0 NA LEICESTER CITYLeicester: Schmeichel, Simpson, Morgan, Maguire, Fuchs, Mahrez (Okazaki 75), Ndidi, Iborra, Chilwell (Albrighton 83), Gray, Vardy (Iheanacho 89)Subs not used: King, Hamer, Dragovic, SlimaniGoalscorers: Vardy 18, Kenny og 29Ev… Read More
Kuelekea Dar derby, takwimu zinaonesha Lwandamina ni kibonde kwa Omogsemiosonyo5.blogspot.comMechi ya Yanga vs Simba itakayochezwa October 28, 2017 inazalisha mechi nyingine ndani yake (yani mechi ndogo ndani ya mechi kubwa).Leo tuanze na mechi ya makocha (George Lwandamina wa Yanga vs Joseph … Read More
Ni Wakenya Rock City Marathon 2017Abrahamu Too kutoka Kenya ameibuka mshindi wa kwanza kwenye mbio za km 42 Rock City Marathon zilizofanyika jijini Mwanza leo baada ya kumaliza kwa muda wa saa 02:22:45, akifuatiwa kwa karibu na mshiriki mwenzake kutoka nchini… Read More
0 comments:
Post a Comment