Tuesday, 25 July 2017

Taarifa ya Wabunge wa CUF Kufukuzwa na Pro.Ibrahim Lipumba Yafika Kwa Spika Wabunge....Afunguka Haya


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema amepokea taarifa kutoka kwa Mhe. Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ya kuwafukuza wabunge na 8 na Madiwani wawili.Baada ya kuitafakari barua hiyo Spika amesema atoa maamuzi.


Related Posts:

  • Kinana awapa somo viongozi waliochaguliwaCHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimewataka viongozi wake wote waliochaguliwa hivi karibuni katika ngazi mbalimbali kuhakikisha wanawatumikia wanachama na wasio wanachama kwa uadilifu na uzalendo ili kuendelea kukijengea imani C… Read More
  • Makosa dhidi ya binadamu yaongezeka kwa asilimia 0.9Jeshi la Polisi limesema makosa dhidi ya binadamu yanayojumuisha mauaji, kubaka, kulawiti, kunajisi, wizi na kutupa watoto na usafirishaji binadamu yameongezeka nchini.Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert … Read More
  • Wanaohubri kwenye mabasi kukiona cha motoBaraza la Ushauri wa watumiaji wa huduma za safiri wa nchi kavu na majini, SumatraCCC limekitaka chama cha wamiliki wa mabasi nchini TABOA na washirika wao kuhakikisha wanasimamia vyema suala la baadhi ya watu kugeuza magari … Read More
  • Njombe yaongoza maambukizi ya UKIMWIWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango leo Disemba 2017, amemkabidhi Rais John Pombe Magufuli   takwimu inayoonyesha  hali ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), wakati wa uwekaji wa jiwe  la msi… Read More
  • NHC YATOA KIWANJA KWA JESHI LA POLISI ENEO LA SAFARI CITYNa Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi ArushaShirika la Nyumba la Taifa (NHC) limetoa eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 5000 kwa Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Polisi na nyumba za askari katika en… Read More

0 comments:

Post a Comment