Ni agizo ambalo Mkuu wa mkoa wa manyara dkt joel Bendera analitoa akiwa katika wilaya ya simanjiro kwa uongozi wa halmashauri hiio huku kiwanda cha kusindika nyama pamoja na ngozi zikitajwa kuwa mbioni kuanzishwa wilayani hapa.
Hata hivyo katika kikao hiki cha madiwani likajitokeza suala la ukwepaji kodi unaofanywa na wafanyabiashara ya madini ya tanzanite hivyo kuikosesha halmashauri hii mapato yake pamoja na serikali huku biashara ya madini hayo ikiendelea kufanyika arusha na Mkoa wa Kilimanjaro badala ya wilaya ya simanjiro mkoa wa Manyara.
0 comments:
Post a Comment