Hatua ya madereva hao kufanya mgomo,imekuja baada ya wenzao 4 kukamatwa na jeshi la polisi usalama barabarani na kuwaweka lumande kwa madai kuwa walichukua abiria eneo lisilo rasmi eneo la mwaka halmashauri ya mji wa Tunduma wilayani Momba.
Baada ya kukamatwa madereva hao,kumepelekea chama cha madereva mkoani Songwe kuitisha mgomo,wakishinikiza jeshi hilo kuwaachia huru wenzao kama wanavyoeleza.
0 comments:
Post a Comment