Pongezi hizo na uungwaji mkoano kwa Rais Dr. Magufuli zimetolewa leo ikiwa ni maazimio 17 ya kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Sumbawanga mjini iliyoketi katika mji mdogo wa Mpui wilaya ya Sumbawanga.
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho wamewaomba Watanzania kumuombea Rais kila mmoja kwa imani yake na kumuunga mkono kwa vitendo.
0 comments:
Post a Comment