Friday, 16 March 2018

BAADA YA KUITOA AC MILAN EUROPA LEAGUE, WENGER AHOFIA KUKUTANA NA ATLETICO, KAYASEMA HAYA



Baada ya Arsenal kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya AC MIlan usiku wa jana kwenye hatua ya 16 ya Europa League, Kocha Arsene Wenger amesema hahitaji kukutana na Atletico Madrid.

Atletico na Arsenal zimefuzu kuingia hatua ya nane bora ya michuano hiyo huku droo ya timu zitakazokutana robo fainali ikitaraji kufanyika kesho.

Wenger amesema anatamani kutokupangwa na timu hiyo ya Spain ili aweze kupata unafuu wa kupenya kwenye mashindano hayo.

Aidha Wenger amesema kuwa wamekutana na wakati mgumu katika mechi zilizopita hivi karibuni na hatimaye wamekuja kupata matokeo kwenye michezo ya mwisho.

Arsenal imefuzu kuingia hatua hiyo baada ya kuifunga AC Milan kwa jumla ya mabao 5-1.

Related Posts:

  • NAONA KAMA WENGER KAINGIA WOGA, KANYOOSHA MIKONO KWA WANAOMLAUMUUNAWEZA kuanza kuona kama vile Arsene Wenger amezidiwa na sasa hana ujanja zaidi ya kufanya jambo moja, kubadilika kutoka alichoamini hadi kufanya wanachoamini.Awali, Wenger ndiye aliaminika kuwa kocha mbahili au mchumi kulik… Read More
  • Malinzi ajiuzulu Urais TFF Akiwa RumandeRAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amejiuzulu wadhifa wake wa Ujumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).Kupitia kwa wakili wake, kampuni ya Rwegoshora, Malinzi amewaandikia … Read More
  • Mzee Akilimali Yanga amesema 'Wamekwisha"Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Ajibu amejitapa kuwa ujio wa mshambuliaji, Ibrahim Ajibu kutoka Simba kutazidi kuiongezea makali safu yao ya ushambuliaji.Yanga wamekata mzizi wa fitina baada ya Jumatano wiki hii k… Read More
  • Wana Msimbazi mumemsikia Tambwe?SIKU chache baada ya Yanga kumtambulisha Ibrahimu Ajibu aliyetokea Simba, straika wa timu hiyo, Amissi Tambwe amesema kwa usajili walioufanya hadi sasa, anamuonea huruma huruma Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zachar… Read More
  • Mwakyembe akoleza moto TFFWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amefunguka na kupigilia msumari jambo ambalo linaendelea (TFF) na kusema ni muendelezo ya kampeni ya serikali ya awamu ya tano kusafisha kila sehemu n… Read More

0 comments:

Post a Comment