Home »
Kimataifa
» Shambulizi la kujitoa muhanga laua watu 10 Mogadishu
Watu 10 wameripotiwa kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulizi la kuitoa mahanga lililolenga kituo cha kutoa mafunzo cha Polisi mjini Mogadishu nchini Somalia.
Shambulizi hilo limetokea wakati wa maandalizi ya gwaride Polisi kuazimisha uwepo wake Disemba 20.
Kundi la wanamgambo wa al Shabaab linashukiwa kuendesha shambulizi hilo.
0 comments:
Post a Comment