Monday, 23 October 2017

ZIDANE KOCHA BORA WA DUNIA, ASHINDA TUZO YA FIFA LONDON




Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane ametangazwa kuwa kocha bora katika tuzo za Fifa mjini London.

Tuzo hizo zinaendelea jijini London na Zidane amefanikiwa kubeba tuzo hiyo kutokana na mafanikio makubwa msimu uliopita akibeba La Liga na Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili mfululizo.


Sherehe za tuzo hizo zinaendelea jijini London, England.

0 comments:

Post a Comment