Home »
Kimataifa
» Rais Trump ajutia kumteua mwanasheria mkuu Jeff Sessions
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa hangemteua Jeff Sessions kama mwanasheria mkuu, kama angejua kuwa angejiondoa kutoka kuongoza uchunguzi kuhusu Urusi.
Bwana Trump ameiambia New York Times kuwa hatua ya Bwana Sessions haijakuwa nzuri kwa urais.
Bwana Sessions alijiondoa baada ya kukiri kuwa alikutana na balozi wa Urusi.
Alisema leo Alhamisi kuwa hawezi kujiuzulu na ataendelea kuongoza idara ya sheria vyema.
Bwana Sessions alikuwa mmoja wa wale walimuunga mkono zaidi Bwana Trump.
Licha ya gavana huyo wa zamani wa Alabama kuwa na jukumu la kutekeleza ajenda ya Rais kama mwanasheria mkuu, Bwana Trump mwenyewe anamlaumu wa kuruhusu kuwepo kwa uchunguzi huru ambao umehujumu Urais.
Aliyekuwa mkurugenzi wa FBI James Comey ambaye mwenyewe alilengwa na Trump alifichua kuwa kundi la kampeni ya Trump lilikuwa chini ya uchunguzi.
Related Posts:
Mgahawa wa Posh Treats washambuliwa somaliaMigahawa katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu, imeendelea kulengwa na mashambulizi mablimbali.Mshambuliaji wa kujitoa mhanga alitekeleza shambulio la mabomu yaliokua yamejazwa katika gari dhidi ya mgahawa maarufu katika mji w… Read More
Mfuasi wa Sanders ashambulia kwa risasi wafuasi wa Chama cha RepublicanEneo la usalama latengwa mara moja kwenye eneo la tukio, katika mji wa Alexandria, karibu na mji wa Washington, Juni 14, 2017.Steve Scalise, mmoja wa viongozi wa Chama cha Republican, alijeruhiwa"vibaya" siku ya Jumatano waka… Read More
Kiranja wa Bunge la Marekani Steve Scalise apigwa risasiKiranja wa walio wengi Bungeni Steve Scalise Kiranja wa walio wengi katika Bunge la Congress nchini Marekani Steve Scalise, amepigwa risasi na kujeruhiwa alipokuwa akihudhuria mazoezi ya mchezo wa baseball miongoni mwa w… Read More
Wahamiaji 100 waokolewa jangwani Niger Wahamiaji wengi huvumilia hatari na changamoto nyingi kusafiri kwenda Ulaya Takriban wanaume 85 pamoja na wanawake wamepatikana wakiwa wachovu na wakiwa wamekosa maji mwilini katika jangwa la Sahara katika jimbo la… Read More
Leo Varadkar amechaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya IrelandLeo Varadkar, ambaye ni mpenzi wa jinsia moja, amechaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Ireland.Mwanasiasa huyo alishinda kwa kura 57 dhidi ya 50 baada ya wabunge kupiga kura, na kumfanya kuwa kiongozi mchanga zaidi wa nch… Read More
0 comments:
Post a Comment