Thursday, 20 July 2017

Raia milioni 32 Marekani kupoteza bima ya afya kufuatia kuangushwa kwa 'Obama Care'


Taasisi moja nchini Marekani yafahamisha kwamba ifikapo mwaka 2026 raia milioni 32 watapoteza bima ya afya baada ya mpango wa Obama Care kutupiliwa mbali na serikali ya Trump.

Serikali ya Donald Trump imeamua kutoa mpango wa afya  wa rais wa zamani Barack Obama wa Obama Care .

0 comments:

Post a Comment