Saturday, 1 July 2017

Mambo ( 6) yatokayokuacha kinywa Wazi


Mambo haya ni kustajabisha sana kama si kukustajabisha basi yatakuacha mdomo wazi,

  1. Nzi huishi siku saba tu katika mzunguko wake wa maisha yake.
  2. Mende anaweza kuishi siku tisa bila kuwa na kichwa.
  3. Wanyama amabao hawewezi kuruka  juu kwa miguu yote miwili ni tembo, kifaru na kiboko.
  4. Katika misuli ya binadamu, misuli ambayo hufanya kazi nyingi na kwa uimara zaidi ni misuli ya ulimi.
  5. Samaki aina ya starfish ndiye samaki amabye hana ubongo.
  6. Usipoitesa akili yako ukiwa kijana utautesa mwili wako ukiwa mzee.

0 comments:

Post a Comment