Juzi Kaburu na Aveva walipandishwa kwenye Kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Kusomowa Mashtaka Matano yakiwemo ya Utakatishaji Fedha.
Kaburu na Aveva walikosa dhamana kutokana Mahakama hiyo kukosa miguu ya kusikiliza dhamana za makosa ya uhujumu uchumi.
0 comments:
Post a Comment