Siku chache tangu Mbunge wa Mikumi Joseph Haule Aseme kwamba Ndoa yake yakaribia ambapo leo yametimia
Mbunge huyo ambaye ni Mkali wa Muziki wa Bongo Hip Hop Prof Jay amefungua ndoa leo kwenye kanisa la St Joseph Jijini dar es Salaam.
Habari na Burudani
0 comments:
Post a Comment