Okwi anasema amefurahi sana kurudi katika timu yake hiyo ya zamani ikiwa chini ya viongozi wapya ambao ambao wanaonekana na njaa ya timu yao kufanya vizuri zaidi hivyo ameahidi kushirikiana nao na kuhakikisha timu hiyo inafanya vyema.
Monday, 26 June 2017
Okwi Atema Cheche
Okwi anasema amefurahi sana kurudi katika timu yake hiyo ya zamani ikiwa chini ya viongozi wapya ambao ambao wanaonekana na njaa ya timu yao kufanya vizuri zaidi hivyo ameahidi kushirikiana nao na kuhakikisha timu hiyo inafanya vyema.
Related Posts:
BANDA ALALAMIKA SIMBA WANATAKA KUMPEPERUSHIA ‘ZALI’ LAKE LA SAUZISource: Binzubeir Sports OnlineBEKI wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Hassan Banda amelalamika klabu ya Simba inataka kukwamisha mpango wake wa kujiunga na klabu ya Baroka F.C ya Afrika Kusini.Banda amesaini mkataba wa miaka mit… Read More
Chelsea yamuongezea muda wa mapumziko Diego CostaMshambuliaji Diego Costa amepewa muda zaidi wa kumpumzika na Chelsea, hatua iliyozidisha uwezekano kwamba huenda akaihama klabu hiyo majira haya ya joto.Mhispania huyo wa miaka 28 amehusishwa na kuhaam klabu hiyo baada ya kuf… Read More
ILE ISHU YA UCHAGUZI WA LIPULI NA ULE WA RUKWA, TFF IMEAMUA HIVI... Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), iliyokutana Julai 8, mwaka huu pamoja na mambo mengine pia ilijadili mchakato wa chaguzi za Mkoa wa Rukwa (RUREFA) na timu ya Lipuli inayoshiriki … Read More
UJIO WA EVERTON DAR NI BURUDANI NA MAFUNZOMPIRA ndio mchezo unaopendwa zaidi Tanzania lakini tumekuwa hatuna bahati nao kwa kuwa maandalizi yetu kwa asilimia 95 yanakuwa si mafunzo bora na zaidi ni vipaji.Si vibaya kusema Alhamisi hii, Watanzania watapata bahati kuio… Read More
TFF YAWAPONGEZA VIONGOZI WAPYA WA SOKA LA WANAWAKEKaimu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amewapa kongole viongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu kwa Wanawake (TWFA), waliochaguliwa kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Chichi, … Read More
0 comments:
Post a Comment