
February 25 2017 uwanja wa Taifa Dar es Salaam ilichezwa game ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu soka Tanzania bara kati ya Simba vs Yanga, game hiyo ambayo ilimalizika kwa Simba kupata ushindi wa goli 2-1, ilikuwa na mvuto wa aina yake kiasi cha kupelekea watu maarufu mbalimbali kuhudhuria.
Miongoni mwa watu ambao hawakutaka kupitwa na game hiyo ni pamoja na Madee,Ommy Dimpoz na Mwana FA wanaoshabiki Simba, muigizaji Wema Sepetu ambaye ni shabiki wa Yanga, mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete pamoja na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.

Msanii wa Bongofleva Madee

Mwana FA na Ommy Dimpoz wakiwa na mashabiki

Mkurugenzi wa ufundi wa Yanga Hans van Pluijm

Afisa habari wa Simba Haji Manara

Wema Sepetu na shabiki

Wema Sepetu

Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa akiwa na shabiki wa soka



Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete


Afisa habari wa Simba Haji Manara akiwa na furaha baada ya Simba kupata goli

Muigizaji Wema Sepetu ambaye pia ni shabiki wa Yanga

Mbunge na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye ni shabiki wa Yanga pia

Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro
0 comments:
Post a Comment