Saturday 17 June 2017

BIASHARA YA KUBEBA MKAA KWA NJIA YA BAISKELI YASHAMIRI CHANIKA


 Mfanyabiashara ya Mkaa akipandisha na Baiskeli iliyobeba mkaa katika eneo la pugu Sekondari akitokea maeneo ya Chanika  akifata soko  eneo la Gongolamboto Dar es Salaam.

 Mfanyabiashara ya Mkaa akipandisha eneo la Kigogo Fresh Pugu  akitokea Chanika  na kufata masoko katika eneo la Gongo la Mboto, mchuuzi huyo hutembea zaidi ya kilometa kumi kutokea katika maeneo ya misitu hadi kufika mjini akiwa na mzigo huo

 Mfanyabiashara ya Mkaa akivuta pumzi katika eneo la Chanika baada ya kutembea kwa muda mrefu akifuata soko katika eneo la Gongo la mboto Jijini Dar es Salaam

Baiskeli zikiwa zimepiga kambi katika kituo chao eneo la Kigogo Fresh nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam

0 comments:

Post a Comment