Friday 16 June 2017

MKUTANO WA KAMATI NDOGO YA USALAMA WA RAIA YA JUMUIYA YA MAENDELEO KUSINI MWA AFRIKA.


Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya, akizungumza wakati wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC), uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi wa Masuala ya  Siasa,Ulinzi na Usalama wa  Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Jorge Cardosoakizungumza wakati wa  Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya hiyo,uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo jijini Dar es Salaam


Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya, akiongoza Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika,Kulia ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini, Dk. Anna Makakala.Mkutano huo umefanyika  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam


Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye ,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam


Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nchini, Profesa Jean Kitembo Mbilika  ,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam.


Naibu Katibu Mkuu kutoka Malawi,Michael Gama ,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam.


Naibu  Mkuu wa Uhamiaji kutoka nchini Swaziland,Makhosi Simelane  ,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam.


Naibu Balozi wa Zimbabwe nchini, Walter Sande akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika  katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam.


Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya(wapili kulia), akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Watatu kulia ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini, Dk. Anna Makakala.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo  jijini Dar es Salaam.(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

…………………….

 

Na MwandishiWetu.

KaimuKatibuMkuuwaWizaraya MamboyaNdaniyaNchi, Balozi Hassan Simba Yahya, amewaombawashirikiwaMkutano waKamatiNdogoyaUsalamawaRaiayaJumuiyaya Maendeleo Kusinimwa Afrika (SADC), kuhakikishawanapambanakupunguzavitendovyaujangili,biasharayamagendo,biasharayabinadamu,uhamiajiharamukwanivitendohivyovinarudishanyuma maendeleo yanchizilizopokatikajumuiyahiyo, hivyokupelekeakurudinyumakwashughulizamaendeleo nauchumi.

Balozi Simba aliyasemahayoalipozungumzakatikaMkutano huouliojadilimasualambalimbaliyaulinzinausalamakatikamaeneoyanchiwanachamawajumuiyahiyo, uliohusumasualayauhamiaji,ukimbizi, mbuganawanyamaporikatikamaeneoyanchiwanachamawajumuiyaya SADC, leojijini Dar es Salaam.

“HatuwezikuendeleakiuchumikatikanchizetuzawanachamawaJumuiyaya Maendeleo Kusinimwa Afrika, kamamatendoyaujangili,biasharayabinadamu, masualayawakimbizi, uhamiajiharamuhayajatafutiwaufumbuzi, kwanihayayatazoroteshashughulizakiuchumiikiwepoutalii, hivyoni bora tukayafanyiakazimaeneohayo,” alisemaBalozi Simba

Akizungumzawakatiwauchangiajimadakatikamkutanohuo,MkurugenziwaMasualayaSiasa,UlinzinaUsalamawaJumuiyayaMaendeleoKusinimwaAfrika (SADC) Jorge Cardoso, alisemauhalifukatikamipakayanchiwanachamaikiwemouwindajiharamuwapembezandovu, uhamiajiharamu,biasharayabinadamunamadawayakulevyalazimavidhibitiwekwanivikiachwambelenivitahatarisha Amani nautulivuuliopokatikanchiwanachama.

“Amani nautulivukatikanchiwanachamanikichocheo cha mabadilikoilikupigahatuazakimaendeleokwendambelenakushirikianakukuzauchumikatikanchiwanachamawa SADC, hivyoyatupasawotekwapamojakuungamkonoharakatizakukomeshavitendovyauhalifukatikanchinamipakayetu,” alisema Cardoso

Aidhawashirikiwamkutanohuokutokakatikanchiza Tanzania, AfrikaKusini, JamhuriyaKidemokrasiayaKongo, Swaziland, Malawi, ZimbabwekwapamojawalikubalianakupitiaKamatizaUlinzinaUsalamakatikanchizaokudhibitimatendoyoteyanayohatarishaamaninautulivu.

0 comments:

Post a Comment